
Hiyo ikiwa ni Dabi ya mwisho kuchezewa Uwanjani Vicente Calderon kwani Msimu ujao Atletico wanahamia Uwanja mpya na Ronaldo ndie alikuwa mwiba akipiga Hetitriki yake ya 39 katika Maisha yake ya Soka.
Ronaldo alifunga Bao la Kwanza Dakika ya 23 kwa Frikiki na Bao la Pili Dakika ya 71 kwa Penati na kumaliza la mwisho Dakika ya 77.


