
Mchezaji huyo anayeheshimika katika mji wa Kolkata ametambulisha sanamu hiyo baada ya kuhairisha mara kadhaa shughuli hiyo.
Katika hafla hiyo Maradona amesisitiza kwa masahabiki hao wa India wanaomhusudu mno kuwa yeye si Mungu bali ni mchezaji soka tu.
Mbali na uzinduzi wa sanamu Maradona alitoa hundi kwa wagonjwa 11 wa saratani pamoja na kukabidhi gari la wagonjwa.

